✅ π₯₯ Nazi zilizokunwa – vikombe 5
✅ π Sukari – vikombe 6
✅ π₯ Maziwa ya unga – kikombe 1
✅ π« Unga wa kakao – kijiko 1 na nusu
✅ πΈ Rangi ya pinki – kijiko 1 cha chai
✅ π Harufu ya strawberry – kijiko 1 cha chai
✅ π§ Maji – kikombe 1 na nusu
π©π³ JINSI YA KUANDAA:
1. π₯ Chemsha sukari: Weka sukari na maji kwenye sufuria nzito, chemsha hadi sukari iyeyuke.
2. π₯₯ Ongeza nazi: Tia nazi na songa bila kuacha hadi maji yakauke kabisa na mchanganyiko uanze kushikana. Punguza moto.
3. π₯ Mimina maziwa: Ongeza maziwa ya unga, songa hadi mchanganyiko uwe mzito kama donge.
4. π«πΈ Gawa sehemu tatu:
Sehemu 1: weka kakao.
Sehemu 2: weka rangi ya pinki + harufu ya strawberry.
Sehemu 3: acha iwe ya asili (nyeupe).
5. π️ Sukuma kwa ustadi:
Paka mafuta mezani.
Tandaza na sukuma mchanganyiko wa kakao.
Juu yake tandaza wa pinki, sukuma.
Mwisho tandaza wa rangi ya kawaida.
6. πͺ Kata vipande: Sukuma vizuri, acha ipoe kisha kata vipande upendavyo.
7. ❄️ Acha zipoe kabisa kabla ya kuhifadhi.
Maoni