JINSI YA KUPIKA KAIMATI

JINSI YA KUPIKA KAIMATI/KALIMATI

MAHITAJI
🟠Ngano vikombe v4 yani nusu
🟠Maziwa yauga vijiko v4
🟠Maziwa ya maji kikombe k1 na nusu/ tui la nazi 
🟠Hamira kijiko k1 
🟠Sukari kikombe k1
🟠Vanila kijiko ki1
🟠Radha ya maziwa kijiko cha chai
🟠Yai 1
🟠Hiliki kijiko k1
🟠Maziwa mgando 
🟠Baking p kijiko cha chai
🟠chumvi kijiko cha chai


Namna ya kuanda
Chuja unga wako vizuri 
Weka hamir,chumvi,sukari,yai,maziwa mgando,maziwa ya unga,baking powder na yai changanya vyote kwa p1

Weka maji 
Anza kuchanganya kwa kuupiga piga mpaka ulainike vzr
Funika vzr kwa muda wa lisaa li1 uumuke

Bandika mafuta jikoni kwa moto mdogo dogo anza kuweka kalmati zako kor oga ili kupata rangi inayo fanana

Kama unavyoona kweny video

Namna ya kuandaa shira

Weka maji  kikombe ki 1kweny sufulia weka sukari na hiliki

Bandika jikoni uku ukiikoroga mpk ianze kutoa povu na kua nzito inayo nata 
Kama unavyoona kwenye video

Imimine kwenye bakuli ulilo weka kalmat zako na anza kuzikoroga uku ukizizungusha

Ziweke kweny upepo zipigwe hewa sukari yako ikauke

Note: kama unataka shira yako isiwe yakukauka kweny kalmat basi isiive sana ikawa nzito yakunata itoe ikiwa na uwepes ilioiva.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

JINSI YA KUPIKA MIKATE YA CHILA (VIBIBI)

🌿🥩🍌NDIZI ZA NYAMA

VILEJA VYA JICHO LA NGAMIA

🥩🥗🍛BIRIANI YA NYAMA YA NG'OMBE

🍗🥘🍲PILAU YA KUKU

JINSI YA KUPIKA NJEGERE ZA NAZI 🍲

🍪🍯VILEJA VYA CARAMEL

JINSI YA KUPIKA VITUMBUA

JINSI YA KUPIKA VILEJA VYA CHOCOLATE NA VANILLA