π§π₯ JINSI YA KUPIKA BAGIA ZA DENGU π₯π§
π§π₯ JINSI YA KUPIKA BAGIA ZA DENGU π₯π§
π Mahitaji:
π₯£ Unga wa dengu β 3 vikombe vikubwa
π§ Chumvi β 1 kijiko cha chai
π§ Maji baridi β 1 glasi
π Baking powder β 1 kijiko cha chai
πΏ Majani ya kotmiri yaliyokatwakatwa β kiasi
π§
Kitunguu maji kiliosagwa β 2 vijiko vya supu
π§ Kitunguu saumu (thomu) kiliosagwa au unga β 1 kijiko cha chai
π’οΈ Mafuta β kiasi cha kutosha kwa kukaanga
π Jinsi ya Kutayarisha na Kupika:
1οΈβ£ Kuandaa mchanganyiko
πΉ Katika bakuli lenye nafasi, mimina unga wa dengu na viungo vyote.
πΉ Tumia uma au kijiko kuvuruga mpaka upate mchanganyiko laini bila mabonge.
πΉ Hakikisha si mzito sana wala mwembamba sana.
πΉ Acha mchanganyiko upumzike kwa dakika 15-20 β³.
2οΈβ£ Kukaanga Bagia
π₯ Weka karai au sufuria nzito jikoni, mimina mafuta na acha yapate moto vizuri.
π₯ Tumia kijiko cha chakula kuchota mchanganyiko na mimina kwa uangalifu kwenye mafuta.
π Geuza bagia upande wa pili hadi ziive na kupata rangi ya kahawia mpauko π€.
3οΈβ£ Kutoka jikoni
π₯’ Tumia chombo chenye matundu (kama mwiko wa kukaangia) kutoa bagia na kuchuja mafuta yaliyobaki.
π½οΈ Badilisha kwenye sahani na ziache zipowe kidogo.
π Zimeiva! Furahia bagia zako moto moto na chai au chutney! βπ₯£π₯
Maoni