SAMBUSA ZA NYAMA

 

SAMBUSA ZA NYAMA



MAHITAJI:

  • 🥟 Manda ya sambusa - kiasi cha kutosha kwa sambusa 40-50
  • 🍳 Mafuta ya kukaangia - kiasi
  • 🍖 Nyama ya kusaga - kiasi
  • 🧄 Kitunguu thoum (saumu) na tangawizi iliyosagwa - vijiko 2 vya chai
  • 🌶 Pilipili mbichi iliyosagwa - kijiko 1 cha chai
  • 🌶 Pilipili manga - kijiko 1 cha supu
  • 🍛 Garam masala - kijiko 1 cha supu
  • 🧂 Chumvi - kiasi
  • 🧅 Vitunguu maji vilivyokatwa (chopped) - 3 vidogo au 2 vikubwa
  • 🌿 Kotmiri iliyokatwa (chopped) - kiasi

MATAYARISHO:

1️⃣ Pika nyama ya kusaga kwa kutia chumvi, saumu (thoum), tangawizi, pilipili, na ndimu.
2️⃣ Kabisa haija kauka, tia garam masala na acha ikae kwa muda kidogo.
3️⃣ Acha ipoe, kisha tia vitunguu maji na kotmiri iliyokatwa.
4️⃣ Funga sambusa kwa kutumia manda ya sambusa kama kawaida.
5️⃣ Pika sambusa katika mafuta ya moto hadi ziwe nyekundu na crisp.
6️⃣ Sambusa zako zipo tayari kwa kuliwa!

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

JINSI YA KUPIKA MIKATE YA CHILA (VIBIBI)

🌿🥩🍌NDIZI ZA NYAMA

VILEJA VYA JICHO LA NGAMIA

🥩🥗🍛BIRIANI YA NYAMA YA NG'OMBE

🍗🥘🍲PILAU YA KUKU

JINSI YA KUPIKA NJEGERE ZA NAZI 🍲

🍪🍯VILEJA VYA CARAMEL

JINSI YA KUPIKA VITUMBUA

🌼🌺VILEJA VYA JAM